Posts

Showing posts from April, 2022

SABABU YA MWAKINYO KUVULIWA MATAJI YOTE YA UBONDIA

Baada ya kuvuliwa ubingwa wa mabara wa WBF miezi kadhaa iliyopita, bondia namba moja nchini, Hassan Mwakinyo amevuliwa ubingwa wa Afika (ABU). Wikiendi iliyopita bondia huyo amevuliwa ubingwa wa African Boxing Union (ABU) alioutwaa Mei mwaka 2021 kwa kumchapa kwa Technical Knock Out (TKO), Maiala Antonio. Hiyo ni mara ya pili kwa Mwakinyo bondia namba moja nchini kuvuliwa ubingwa, baada ya miezi kadhaa iliyopita Shirikisho la Ngumi la Dunia (WBF) kutangaza kumvua ubingwa wa mabara aliokuwa akiushikilia tangu 2020 kablaa ya wiki iliyopita ABU kutangaza kumvua ubingwa wake. Septemba 3, 2021 Mwakinyo aliutetea ubingwa huo kwa kumchapa Julius Indongo kwa TKO, mapambano yote yakichezwa Dar es Salaam, ingawa hivi karibuni ABU imemuondoa kwenye orodha ya mabingwa wake. ABU ilimuondoa Mwakinyo kwenye orodha ya mabingwa na kumshusha hadi nafasi ya tatu ya ubora wa mabondia wake kwenye uzani wa super welter huku ikionyesha mkanda uliokuwa ukishikiliwa bondia huyo namba moja huko wazi, hauna ...

HAJI MANARA:HAKUNA ANAYETAKA KUMUUA MAKONDA LABDA AFE KWA STRESS ZAKE TU.

Image
Haji Manara ameendelea kumnanga rafiki yake wa zamani, Paul Makonda ambaye kwasasa yupo kwenye mgogoro mzito na boss wake wa sasa, Gharib Mohammed(GSM). Manara amedai watu wengi wamekimbia nchi kwasababu ya uonevu wa Paul Makonda. Manara amemtaka Makonda kuacha kutafuta huruma mitandaoni na sasa wanaongozwa kwa utaratibu badala ya ubabe. Pia Manara amehoji nani wa kumuua Makonda zaidi ya 'Stress' na kumtaka arudi Kolomije kwani sasa hana cheo. Mwisho Manara amemaliza kwa kusema Makonda alilazimisha kuingia chumbani kwake kwasababu choo cha public sio hadhi yake. Anyways huyu ndugu akiondoka sehemu au hamsini zenu zikiisha hana kifua, atayasema kwa mabaya yote mliyofanya kwa siri na dhahiri, hata GSM ajiandae siku wakienda sideways. Kwa Makonda pole sana, kuna muhenga alisema cheo ni kama koti la kuazima.