Posts

Showing posts from 2022

Triple S Umeniteka

Image
Tafadhari copy na paste kuanzia https 👉👉👉👉👉 https://drive.google.com/file/d/1wvqcjBb3tMWII7wEwlcdqyytAQrfSX8N/view?usp=drivesdk>

SABABU YA MWAKINYO KUVULIWA MATAJI YOTE YA UBONDIA

Baada ya kuvuliwa ubingwa wa mabara wa WBF miezi kadhaa iliyopita, bondia namba moja nchini, Hassan Mwakinyo amevuliwa ubingwa wa Afika (ABU). Wikiendi iliyopita bondia huyo amevuliwa ubingwa wa African Boxing Union (ABU) alioutwaa Mei mwaka 2021 kwa kumchapa kwa Technical Knock Out (TKO), Maiala Antonio. Hiyo ni mara ya pili kwa Mwakinyo bondia namba moja nchini kuvuliwa ubingwa, baada ya miezi kadhaa iliyopita Shirikisho la Ngumi la Dunia (WBF) kutangaza kumvua ubingwa wa mabara aliokuwa akiushikilia tangu 2020 kablaa ya wiki iliyopita ABU kutangaza kumvua ubingwa wake. Septemba 3, 2021 Mwakinyo aliutetea ubingwa huo kwa kumchapa Julius Indongo kwa TKO, mapambano yote yakichezwa Dar es Salaam, ingawa hivi karibuni ABU imemuondoa kwenye orodha ya mabingwa wake. ABU ilimuondoa Mwakinyo kwenye orodha ya mabingwa na kumshusha hadi nafasi ya tatu ya ubora wa mabondia wake kwenye uzani wa super welter huku ikionyesha mkanda uliokuwa ukishikiliwa bondia huyo namba moja huko wazi, hauna ...

HAJI MANARA:HAKUNA ANAYETAKA KUMUUA MAKONDA LABDA AFE KWA STRESS ZAKE TU.

Image
Haji Manara ameendelea kumnanga rafiki yake wa zamani, Paul Makonda ambaye kwasasa yupo kwenye mgogoro mzito na boss wake wa sasa, Gharib Mohammed(GSM). Manara amedai watu wengi wamekimbia nchi kwasababu ya uonevu wa Paul Makonda. Manara amemtaka Makonda kuacha kutafuta huruma mitandaoni na sasa wanaongozwa kwa utaratibu badala ya ubabe. Pia Manara amehoji nani wa kumuua Makonda zaidi ya 'Stress' na kumtaka arudi Kolomije kwani sasa hana cheo. Mwisho Manara amemaliza kwa kusema Makonda alilazimisha kuingia chumbani kwake kwasababu choo cha public sio hadhi yake. Anyways huyu ndugu akiondoka sehemu au hamsini zenu zikiisha hana kifua, atayasema kwa mabaya yote mliyofanya kwa siri na dhahiri, hata GSM ajiandae siku wakienda sideways. Kwa Makonda pole sana, kuna muhenga alisema cheo ni kama koti la kuazima.

Triple S Sikulaumu

Triple S Sikulaumu Lyrics https://youtu.be/FRocGs0hu2M https://youtu.be/rdL2nAJbvAc Copy code snippet It

Tripple S new song 2022

Triple S Moyo Wangu

NAMNA YA KUTUMIA BIDHAA ZENYE HYDROQUINONE KWA USAHIHI

FAHAMU MATUMIZI SAHIHI KWA BIDHAA ZENYE HYDROQUINE. Kutokana na vipodozi vingi vya kung'arisha,kupendezesha,kuvutia,kuondoa chunusi,kuondoa mafuta na mambo mengine ya kiurembo kuwekwa kiambata sumu "HYDROQUINONE" tutaangalizia namna sahihi ya kutumia ili kupunguza madhara yake kwenye ngozi na afya kwa ujumla. Hydroquinone ni kiambata kinachowekwa katika bidhaa za ulembo ili kuweusha,kung'arisha na kuondoa chunusi na madoa katika ngozi hasa usoni. kujua vipodozi hivyo bofyahttps://www.blogger.com/blog/post/edit/5639560547725395238/1499525389980259265 SERIKALI kupitia mamlaka zake zinazuia matumizi ya bidhaa zenye Hydroquinone kutokana na madhara yake kwenye ngozi na afya kiujumla. Adora Ezeonu ni mwanamke wa Nigeria amesema " Unapopanga bajeti ya wiki au mwezi,lazima uhusishe hela ya kununua mafuta au sabuni hizi,ni bidhaa muhimu kama ilivyo kwa sabuni,nguo na mambo mengine kama umeme na maji. Aliendelea kusema" Nilizaliwa na ngozi nyeusi ambayo ilinifan...